A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, April 17, 2019

Rais Magufuli atoa wiki moja kwa Wizara ya Ardhi

Rais John Magufuli ametoa wiki moja kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Wizara ya Viwanda na Biashara kukamilisha taratibu za uwekezaji kwa kampuni ya Sugar Investment Trust (SIT) ya Mauritius ambayo imecheleweshwa kuwekeza katika uzalishaji wa sukari tangu 2017.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages