Watu 15 wameripotiwa kupoteza maisha katika shambulizi la silaha nchini Nigeria.
Kwa mujibu wa habari,mtu huyo ameshambulia watu kwa silaha na kusababisha watu wengine wengi kujeruhiwa katika eneo la Zamfara.
Msemaji wa polisi katika eneo hilo Muhammad Shehu, amesema kuwa watu wengi wamelazimka kuyakimbia makazi yao kutokana na hofu ya maisha yao.
Polisi wameanza kufanya uchunguzi wa aliyehusika na shambulizi hilo.
Eneo la Zamfara limekuwa likikumbwa an mashambulizi ya silaha ya hapa na pale katika siku chache zilizopita.
Hapo awali watu 26 waliripotiwa kupoteza maisha katika shambulizi la silaha nchini humo.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, June 3, 2018
Watu 15 wauawa katika shambulizi
Tags
KIMATAIFA#
Share This
About kilole mzee
KIMATAIFA
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment