A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, June 7, 2018

TANZIA: Sam wa ukweli afariki Dunia


Msanii wa Bongo Fleva, Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Palestina, Sinza jijini Dar baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Chanzo cha kifo chake kimelelezwa na Producer wake Steve kuwa “Sam alianza kuzidiwa toka J’mosi, tulipomuuliza anaumwa nini alisema ukimwi lakini sio ukimwi wa kawaida bali wa kulogwa”

Mwili wa marehemu umepelekwa katika hospitali ya Mwananyamala kuhifadhiwa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages