Magonjwa hatari tunayoweza kupata kutokana na kuwa na uzito mkubwa ni kama yafuatayo:
- Magonjwa ya moyo.
- Shinikizo kubwa la damu.
- Kiharusi.
- Aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari.
- Baadhi ya aina za saratani.
- Ugumba.
- Msongo wa mawazo.
- Ugonjwa wa mifupa na
- Maumivu ya mgongo.
Asante kwa kusoma Makala katika blog yetu ya Muungwana.
No comments:
Post a Comment