A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, April 13, 2018

YANGA YAAHIRISHA MKUTANO WAKE NA WAANDISHI WA HABARI LEO

Kikosi cha timu ya Yanga.
Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kuahirisha Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliopaswa kufanyika leo saa 7 mchana.
Yanga ilitangaza jana kuwa leo itaitisha kikao na Wanahabari ili kuzungumzia masuala mbambali yanayoihusu klabu hiyo.
Taarifa ya kuahirishwa kwa mkutano huo imeeleza kuwa ni sababu zisizozuilika, hivyo watapanga tarehe nyingine ya kikao hicho.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages