A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, April 13, 2018

VANESA MDEE AMPONGEZA JUX.


Hapo jana, April 12, 2018 Jux kupitia brand yake ya African Boy alisaini dili nchini China. Sasa mpenzi wake, Vanessa Mdee hajawa nyuma kwenye hilo.

Vanessa Mdee amempongeza Jux kwa hatua hiyo aliyopiga na kuwashukuru watu wote waliokuwa waki-support bidhaa za Jux kupitia African Boy. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Vanessa ameandika;

“We live in a world of endless possibilities. Hongera sana sana sana babe, umepambana sana kuijenga African Boy pamoja na Watanzania wote waliowahi ku-support brand yako ya kijanja, now it’s Money Time. God bless you with more Jux, nakuona mbali babi wewe piga kazi,” amesema Vanessa.

Jux amesaini dili na kampuni  ya Vendome ya nchini China kwa ajili ya kuzalisha bidhaa zake kupitia brand ya African Boy ambayo ina bidhaa kama tisheti, kofia, viatu, mabegi n.k.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages