A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, April 25, 2018

Polisi Tabora yatoa Tahadhari kwa waliopanga kuandamana

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora  kuendea kusherehekea sikukuu ya Uhuru  kwa amani na utulivu na limetoa onyo kwa  wananchi wa Mkoa huu wenye mpango wa kuandamana waache mara moja kwani Jeshi la Polisi Mkoani hapa liko imara na limejipanga kukabiliana na yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani. Hayo yamesemwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP WILBROD MUTAFUNGWA wakati akiongea na waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages