Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kuendea kusherehekea sikukuu ya Uhuru kwa amani na utulivu na limetoa onyo kwa wananchi wa Mkoa huu wenye mpango wa kuandamana waache mara moja kwani Jeshi la Polisi Mkoani hapa liko imara na limejipanga kukabiliana na yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani. Hayo yamesemwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP WILBROD MUTAFUNGWA wakati akiongea na waandishi wa habari.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, April 25, 2018
Polisi Tabora yatoa Tahadhari kwa waliopanga kuandamana
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment