A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, April 7, 2018

Harmonize atangaza ajira kwa wapiga picha


Ikiwa ni wiki mbili tu zimepita tangu aliyekuwa mpiga picha wa Diamond Platnumz, Kifesi kutangaza kuacha kazi na kuvunja mkataba wake na WCB, hatimaye Harmonize ametangaza nafasi za kazi.

Harmonize kupitia ukurasa wa Instagram ametangaza nafasi moja ya kazi ya videographer ambapo amesema kuwa anahitaji kijana mwenye ujuzi na kipaji.

Kama unakipaji kwa sasa unaweza kuomba nafasi hiyo kwa kupiga simu namba 0623300333 ili uweze kupata maelezo zaidi ya jinsi ya kuwasilisha CV yako.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages