A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, April 7, 2018

ALONSO: HISPANIA ITATWAA KILA KITU

Xabi Alonso

NYOTA wa zamani wa Real Madrid na Hispania, Xabi Alonso amesema anaona Hispania ina nafasi ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka huu huko Urusi pia klabu zake zitatwaa mataji ya Uefa.

Alonso alisema timu ya Taifa ya Hispania ina nafasi kubwa kutwaa ubingwa wa dunia ikitokea Kundi B la michuano hiyo mbele ya mataifa ya Iran, Morocco na Ureno.

“Timu ya taifa ina nafasi ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia, pia Real Madrid ina nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya hata Atletico inaweza kuchukua Europa,” alisema Alonso.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages