A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, April 3, 2018

Agnes Masogange aachiwa huru


Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ ameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mara baada ya kulipa faini ya Shilingi Milioni 1.5.

Masogange alihukumiwa miaka 3 jela ama alipe faini ya Milioni 1.5 baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages