A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, March 29, 2018

Breaking News: Wabunge, Madiwani CHADEMA waandamana kwenda Ubalozi wa Ulaya wahofia maisha yao

Wabunge na madiwani wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema wameandamana kuja ubalozi wa Ulaya kuja kuomba uangalizi wa usalama wakihofia usalama wa maisha yao lakini pia kuomba haki ya dhamana kwenye kesi inayowakabili viongozi wakuu wa chama hicho.





No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages