A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, February 18, 2018

Program ya Wajibika ya Benki ya NBC mkombozi kwa vijana

Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Mussa Severin (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Adeth Philimon (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Oliver Proper (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Deogratus Alexanda (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Flora Odunda (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Geofrey Frank (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Vedastus Yegela (kushoto), anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages