A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, December 18, 2017

Dk Harrison Mwakyembe aipongeza timu ya soka ya DTB


Waziri wa Habari sanaa utamaduni na michezo  Dk   Harrison Mwakyembe (kushoto),Akikabidhi kombe kwa nahodha wa timu ya soka ya Diamond Trust Benki (DTB), David Kikambako  baada ya timu hiyo kuibuka kidedea kwakuichakaza  timu ya benki ya Exim kwa mikwaju ya penati  katika mchezo wa fainali ya ligi ya mabenki iliyopewa jina la brazuka kibenki, wa katikati ni Mratibu na Muanzilishi wa ligi hiyo Nasikiwa Berya.
Waziri wa Habari sanaa utamaduni na michezo  Dk   Harrison Mwakyembe  akishangilia pamoja na wachezaji wa benki hiyo kushoto kwa Waziri ni Mratibu na Muanzilishi wa ligi hiyo Nasikiwa Berya.










Wachezaji wa DTB wakifurahia ushindi huku wamembeba kocha wao Michael Lugalela
 Timu ya Exim ambayo imeshika nafasi ya pili katika michuano hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja wakionesha zawadi zao

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages