A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, August 21, 2017

POLEPOLE AFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Poloepole akizungumza na Kaimu Balozi wa Marekani hapa nchini Inmi Petterson, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, leo, Agosti 21, 2017.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Poloepole akilipokuwa akimkaribisha Kaimu Balozi wa Marekani hapa nchini Inmi Petterson, katika ukumbi wa Sekretarieti kwa ajili ya mazungumzo, baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, leo, Agosti 21, 2017

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages