A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, April 17, 2017

RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA PASAKA KANISA LA AFRICA INLAND CHURCH PASTORATE YA MAGOMENI JIJINI DAR ES SALAAM NA KANISA LA MTAKATIFU PETRO OYSTERBAY JIJINI DAR ES SALAAM



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na waumini wa Kanisa hilo la Afrika Inland Church Pastorate ya Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Maguful akimshukuru Baba Askofu  wa Kanisa la Afrika Inland Church Pastorate ya Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam Charles Salala  mara baada ya mazungumzo kanisani hapo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Maguful alipokea sakramenti Takatifu  wakati wa ibada ya Pasaka katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es Salaam Ibada hiyo ambayo imeongozwa na  Paroko wa Oysterbay Padri Asis Mendokta imehudhuriwa pia na Akofu Mkuu wa Jimbo Kuu katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na waumini wengine wengi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli katika Ibada ya Pasaka katika Kanisa la Afrika Inland Church Pastorate ya Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam

  Mwenyekiti wa Paroko ya Oysterbay Dkt. Adelhelm Meru wakisali baada ya kupokea Sakramenti Takatifu wakati wa  ibada ya Pasaka katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam. Ibada hiyo, ambayo imeongozwa na Paroko wa Parokia ya Oysterbay Padre Asis Mendokta, imehudhuriwa pia na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na waumini wengi wengine Askofu Mkuu wa Jimbo
  Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Polycarp
Kardinali Pengo akiongea na waumini wakati wa ibada ya Pasaka katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam jana Jumapili Aprili 16, 2017
 Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  akimuamkia Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo baada ya  ibada ya Pasaka katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam jana Jumapili Aprili 16, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na waumini wakimsikiliza Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akiongea na waumini wakati wa ibada ya Pasaka katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam jana Jumapili Aprili 16, 2017
Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo nawaumini wengine.Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Pombe Magufuli

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages