Watu wanne waripotiwa kufariki katika ajali ya ndege iliotokea katika mbuga ya al Khunfa . Taarifa hiyo imetolewa na uongozi wa mbuga hiyo jangwani. Miongoni mwa wahanga katika ajali hiyo ni mkurugenzi wa mbuga hiyo na kiongozi wa marubani.
Ajali hiyo imetokea Jumanne.
Mkurungezi wa al Khunfa Saud al Shamri na Jodeid al Shamlani, rubani msaidizi Mohammed bin Mofleh Qathami na Mojzaa al-Shamri wamefariki katika jali hiyo.
Hakuna taarifa ilitolewa kuhusu sababu zilizopelekea ajali hiyo.
No comments:
Post a Comment