A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, May 15, 2018

Ndege yapata ajali nchini Saudi Arabia


Watu wanne waripotiwa kufariki katika ajali ya ndege iliotokea katika mbuga ya al Khunfa . Taarifa hiyo imetolewa na  uongozi wa mbuga hiyo jangwani. Miongoni mwa wahanga katika ajali hiyo ni mkurugenzi wa mbuga hiyo na kiongozi wa marubani.

Ajali hiyo imetokea Jumanne.

Mkurungezi wa al Khunfa Saud al Shamri  na Jodeid al Shamlani, rubani msaidizi  Mohammed bin Mofleh Qathami na Mojzaa al-Shamri wamefariki katika jali hiyo.

Hakuna taarifa ilitolewa kuhusu sababu zilizopelekea ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages