Mara baada ya kujaliwa kupata mtoto wa kike, msanii wa muziki Bongo na video vixen, Gigy Money amerejea tena kwenye headlines zake, time hii amepata dili za ubalozi.
Gigy Money kwa sasa ni balozi wa bidhaa za Bull Condom ambapo kwa sasa anatoa kinga hizo katika maeneo tofauti tofauti.
Gigy Money ameweka wazi hilo kupitia ukurasa wake wa Intagram ikiwa ni wiki mmoja imepita tangu Amber Lulu kuweka wazi kuwa balozi hata hivyo hakuweka wazi ni kwa bidhaa zipi.
Mwaka jana kulikuwa na taarifa za ujio wa bidhaa za kondomu kutoka kwa rapper Joh Makini hata hivyo kumekuwa na ukimya wingi wa hilo.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, May 15, 2018
Gigy Money apata ubalozi wa kondomu
Tags
BURUDANI#
Share This
About kilole mzee
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment